Nyashinski
Aminia
[Intro: Nyashinski]
Yeah!
Niko hapa kuwapa muziki mzuri wako hapa tu kuwa famous
Ama juu waliskia ma-rapper hupendwa na madem, bas'
Wanajiita lyricists, kwa hizi interviews na mimi tu ndio nimetoa lyric video ika hit a million views, how?
Nyashinski, yeah
Cedo

[Interlude: Nameless]
Ati Nyash hii area si ulikam na ubaya
Iko watu husema heri hata ungekwamia ulaya
Umerudi wasanii wakaanza kuambiwa wa-retire
Secular lakini unaandika gospel fire

[Verse 1: Nyashinski]
Si live a lie, najua n'ta-sound kama niko ma dre but juzi walai
Nilipanda matatu na Trey na siuzi mayai
Nimetoka mbali aisee na siishi Rongai
True story
Klepto si mtarudiana lakini
Hatujai achana tunaruadiana kwa nini?
Na majaliwa Inshallah mi na vijana wawili
Tutazidi sana kando na kukosana niamini
Tusipimane akili mi nina kichaa
Waambie waache kujichokesha ulimi mi ndio teacher
Enyewe manze wataacha lini, kujichocha ju ni clear tukisimama hao na mimi ni mi una-prefer
[Hook]
Aminia
Oh nana nana nana nana
Aminia
Oh nana nana nana nana yeah
Aminia
Oh nana nana nana nana
Aminia
Oh nana nana na na na na yeah
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia

[Verse 2: Nyashinski]
Kuna tenje yangu fulani heri ibaki mteja tu
Au nkitoka niiachange kwa keja tu
Najua ikilia ni mtu anataka favour tu
Kila conversation ni ka Deja Vu
Maisha imejaa na watu fake si uongo
Na visu zakunidunga n'kiwageuzia mgongo
Washa sense ntakafunga so wananyemelea
Siezi afford kumwaga unga najitegemea
Sieki imani kwa binadamu mimi
Naeka imani kwa God si kwa sanam mimi
Ah, ka s'kupendi s'kufichi
No pretending hata simu zenu mi sishiki
N'kuwe pissed kwa nini, siko pissed niamini mi niko bie
Na go through vitu real ka nyinyi mimi pia
Maybe tu argue beats au beer hatuezi argue ati iko rapper anatoa hits ka mimi
Aminia
[Hook]
Aminia
Oh nana nana nana nana
Aminia
Oh nana nana nana nana yeah
Aminia
Oh nana nana nana nana
Aminia
Oh nana nana na na na na yeah
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia

[Verse 3: Nyashinski]
Philosophy yangu ni don’t worry chema chajiuza
Sijieki na Don Larry ama Martin Luther
Nani huyo CNN wana interview, sio mimi
Nkianza hii kitu ni watu wa few waliamini
Nabii hakosi heshima is'pokuwa kwa nchi yake
Kwa jamaa zake na nyumbani mwake
Nabii hakosi heshima is'pokuwa kwa nchi yake
Kwa jamaa zake na nyumbani mwake
Hii ni ya kila mtu nishai uliza ka anapenda rap akaniambia ako 50/50 (yeah)
Kila mtu anaconsider kuingia hii biz ya mziki but ameambiwa ati muziki hailipi
Ka uko hapa juu ni passion bas' si kazi hata
Ka we ni rapper juu ni fashion hatukutaki hapa
Hii ni ya msanii yule anahangaika na guitar anaimba for free saii
Na ataendelea hata ka anajua hata hajalipwa
Yeah
[Outro]
Hii ni kwa mtoi yeyote ako na dream
Siku moja joh ni wewe wataita King
Jione umpanda stage na umeshika
Usiwai sahau mahali umetoka juu umefika, aminia
S'choki, s'choki, s'choki
Style mingi kushinda menu ya kinyozi
Aminia
Naeza sue hao wengine hawatoshi
Aminia
Aminia, aminia, aminia

Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Ah ah ah ah ah yeah
Aminia
Oh, nanana
Aminia