Nyashinski
Properly
[Intro]
Hallo! (Cedo) Hallo!
Kama we ni mwenyeji (Mmmh mmh)
We ni mwenyeji (Hallo)
Kama we si mwenyeji (Mmmh mmh)
Mind your business

[Verse 1: Nyashinski]
Ka unataka ule anaichapa mpaka ilale
Basi harakisha njoo na
Nyumba inanukia shasha money
Usitume nini kwa floor na
Msupa ako mood ya ladha gane
Tunaeza enda fasta au slow baby
Naiva nikiskia ma Bob Marley
Nikitafta plan ya doh, yeah
Hatuanzishi vita tunamaliza
Nani ukiniita tuma mamita
Hao ma lip syncer wanawaingiza
Napanda stage ju naona miujiza
Originator, baba wa keja
Wananitii wananiiga
Nilikuwa nachoma mpaka kwa filter
Ka bado uko ushago, hallo

[Chorus: Nyashinski & Femi One]
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
[Verse 2: Femi One]
Sikudai number 2 wakanichuja daro
So nikajenga shule waje walipе karo
Sai mi ndio speaker Frank Ole Kaparo
Matutor zinapiga ki Usman Kamaru
Kwa fam ya kipunk sikutoka
So fam ya kipunk itatoka kwa mimi
Amini ni jasho na damu zinatoka
Nikiroga hii injili naitrеat kama dini
Sai madivai zinakuja na mzinga
Wananidai na ni juzi waliringa
Mungu aki-sign si unajua huwezi pinga
Odds ziko right mi sichezi na tinga
Okay! Ki Femi kijembe kikali
Bila budi inabidi wakubali
Watajali ujue nani hakujali
Hii maisha ni tamu naichase na makali

[Chorus: Nyashinski & Femi One]
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
[Verse 3: Nyashinski]
Guess nani ako in the zone (Aje)
Na anafeel right at home (Aje)
Utajua nilikuwa kwa chuom (Aje)
Na harufu ya cologne (Sare)
Na sijawahi kosaga form (Sare)
Last year niliuza ma phone (Sare)
Jana niliota naperform (Sare)
Na kabla ya kuota niliperform huh
Short na uli know kwa cliff
Kabla ujue mambo ya drone
Blunder imejaa na Keith
Nagrind ni ka na clone
Mkiuliza nana ni gwiji hapa
Mi naskianga ka mnanikosea heshima
Hamwezi nipima, hamwezi nizima
Na nimeingia naskia wananiambia?

[Chorus: Nyashinski & Femi One]
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga
Life iko order
Mpaka ukweli inasound unachocha
Vile naifanya sio hoja
Huku East si ni si tunazoza
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyanga, proper (Proper)
Proper (Proper) Properly
Tunaifanyaga