One The Incredible
Rap Science
(VERSE 1)
Hii ni news kwa ma – rap star/
Kwenye mdundo mi ni bao, nateleza na nina ujuzi wa kunata/
Utunzi bado culture, na – peruz kurasa/
Mwenyeji vituo vyote kama mluzi wa kondakta/
Uhh.. Beat ya Den texas/
Nchi ya verse, tenzi hazihesabiki hata kwa census/
Sense sick, spit ka` na – desease kwa senses/
New era muzik, Old rapper hit the benches/
Nawakilisha illmatix toka enzi/
Ikiwekwa beat kati tunagawa kama chenji/
Peace kwa J ryde, Bano Stylez enzi
Toka tunafanya freestyle kwa ringtone za dre beats/
Tenzi za roho kutoka kwa rap dayosis/
Niko sick, sitibiki kwa anti-biotics/
Maabara ya mziki na – deal na rap science/
Uno the Chemist, Niko na text the Mad scientist…


(VERSE 2)
Check…. Hii ni for the people wa kitaa, People wa mitaani/
The people behind bars wanaoishi kwa imani/
Mother kani – teach tuko equal so sidhani…./
…. Ka` nikiku – treat sivyo tutakuwa people wa amani/
Sikupeleki higher nakurusha/
Haina ku – retyre, weka fire kama kaya kwa wavuta/
Namwaga dawa ka` supplier, ama pusher/
Mpaka wanachoka mbaya, shonea waya kwenye bukta/
Mbaya nawakilisha/
Hata nibarikiwe na uhai wa kujidai mpaka Messiah anapofika/
Na sina ubaya, nimeutumia mpaka umekwisha/
So, hata niki – retyre nitaimba kwaya ya kanisa/
We ni Big screen star unaetisha/
Mi ni sixteen bars za sifa, hapa u – star unakwisha/
Muda hausimami, masaa yanapita/
Maisha ni movie ya kila siku, mi ni star kwenye picha…


(VERSE 3)
Hii sio Hip Hop conscious, ni hoja njema/
Sina nguzo tano, mi natumia moja vyema/
Moja tena, niite nyota njema/
Ka` ulie nae mikosi huna budi kumngoja Mwema/
Bado mbinde nilinde hali/
Mkali jilinde, kama unaringa kibingwa karinge mbali/
Jilinde na zali, habari zifike kwa wahuni wa maskani, niko nanyi kama vizinde vya kali/
Sina drama wa beef kumbuka/
Hizo peleka kwa baby – momma, sio sisi utaumbuka/
Huu ndo mwanga, mweusi hawezi wanga, hapa zina twangwa chungu sio rahisi kumumusa/
Ukihisi nimekugusa, Diss/
Hizi flo kubwa zinawavuka, iwe bukta ama jeans/
Stuka ama sizi/
Sanuka hawa machizi wameshafua, na hawawezi kukauka zama hizi…