One The Incredible
40 Bars
ONLY ONE VERSE WITH NO CHORUS
Verse

Habari noko/Nina habari moko
Huwezi timiza kazi kama askar choko
Juu ya daftar ninatafakar msoto
Kwa mistar mitamu kawa cariban coco
Mi ni classic na move kama dancE
Nawapa hisia kali zaid ya muvi za mikasi
Kwenye chart zao wao ushndani mm nafasi
Sifanani nao mimi ni zao wao ni nyasi
Mwanaharakatikama kikosi na siasi
Mistari ina siri nzito kama boksi la risasi
Sipo copy npo confident conscious reaction
Kwenye boof niko lost kama part ya duratics
/Geneous nilifeli kupass Mathematics
Kama rap ni drugs mi na Habit kama addicts
Sipiti kama rabbit kwenye 8 mile
Love or hate it hard iki bet hii air tym classic
Verse balanced ka account ya fisadi
Kwako mlevi wa u star ka round za vinywaji
Dunda kavu au bounce na vinywaji
Skia biashara kwenye speaker leta sound ya miradi
Naujumbe mtam kama sound ya kingasti
Snitch hastaround niko down na illematics
Na spiti kwenye mic ka risas nipo kasi
So huwez pass around ka upo stack kwenye trafficks
Aah sibutui nashoot kasi
Tu hujui siku zote vipi unisumbue kilaza
Mdundo mweusi nausugua ka na msasa
Mpaka duke ateme slang kama movie ya kihustler
Hii kwa wote wanaoikubali sio flani na flan waipende
Mi ndo moko makutano ya mistar kama stend ya mwenge
Yafanya wengi waende mbali waache wachache wakae kizembe
Kaa mbali nasi au kaa sawa nikulenge
Sa kaa sawa snitch mi ni dawa ka Giv
Hawa wanadis lakini hawapo sawa kama sisi
Na kama mkavu hapa utanawa utakuwa mbichi
Money ni power respect 2naipata ukijua displine
Kama kiongoz wa dini nampenda mjinga na mtoaji
Mtaani wanga hunihofia kama bingwa wa uponyaji
Linda chako mjinga watu wanawinda hawako safi
Ukizingua unagongwa tako kama mznga wa konyagi
Nampenda haswa anahisi anapenda heshma
Daktar rudia darasa mimi ni ugonjwa usio na jina
Anashangaa dinner mara hawa mara huyu we ni buyu mi ni moko sawa sawa