YG
Sipendi Machocha Official Audio
Dj Bach 1 ( Sipendi Machocha )

Intro - (000-022)
Hook - (023-046)
Verse - (047-156)
Hook - (157- 220)
Verse - (221-330)
Outro - (331-342)


( Intro )

Yeah
Pilgrim up
LAM on the mic
Let’s get it ahah
Sipendi machocha
( Mazee yaani, chocha haisadii man, inafaa tu tukue wasee real yaani)
Uh


( Hook )

Kama hunipendi basi nishow, hulipi hiyo deni basi nishow, hutaki hiyo form basi nishow uh/
Sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/
Sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha ( Pilgrim up)/
Sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/

( Verse )

I own the rap game, you other rappers brokers, you be here for the fame, nkama sniper aliwachocha/
About my rap name, niliipata nkiwa ocha, nimechoka na hizo claims, faster fastеr nyi mnaoshwa/
Boss mistari endless, nalima versе ni kama me jembe, tena lazima niseme, hizo ma beef zenyu ni friendly/
I mean why can’t n***as refine it, muko na class lakini nyi dummies, point ifike nyumbani, either na swa ama kilami/
Ok bado ninakanganya, skill ni tight imenibana, trouble zinafuatana, eyes on prize, me napambana/
I am a beast bila hiyo ganja, venye nafix tadhani me plumber, namada beats kujeni matanga/
Hizi ma flow badilishanga, kama hizo pads siwezi kublunder, me ntawaserve nikiwaranga/
I got em bars na nimezipanga, I don’t know why they gave me a D plus, hiyo ni Chem na sikuandika/
Uh right now mimi ndo E-Sir, venye na rap walai I’m sicker, sick on the mic get me a doctor/
Oh Pilgrim up I guess, I take them n***as laps no breaks, I beat em up just like a case, your chick saluting like some feds/
You looking up or up to me, they going down like submarine, my time to shine will come until, wonder where a n***a been/
Uh mind is on the money, shorty fine and too organic, what’s the plan you got me running, up and down might think I’m bouncing/
I’m in town I’m busy searching, lost my patience no location, what’s the essence?question, need some time in isolation/
Uh


( Hook )

Kama hunipendi basi nishow, hulipi hiyo deni basi nishow, hutaki hiyo form basi nishow uh/
Sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/
Sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha ( Pilgrim up)/
Sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/

( Verse )

In this life, wasee most ni kuchochana, ukitokwa na msee real, we sahau kama jana/
Ati huwezi make, me napenda hiyo debate, cuz one thing, hao wasee ni fake uh/
Nilichange, don’t ask me why, nilichochwa na her friends, kumbe alikua anataka ndai/
Karao wao hudefend, wakishapata hiyo chai, otherwise watakuchocha, mwishowe walaghai/
Oh don’t waste my time bro, kah si cash next time though, niko on my marks nikisaka racks, if you won’t help you just go/
Ain’t chilled out for money, free lunch ndo gani, kah si mboka tafadhali, siko hapa niko mbali/
Na mafans washakubali, drive em crazy kama gari, me huspit nikishift, rap iko mechanic/
I don’t really need nobody, kunishow that me ni mkali, it’s so obvious I’mma run it, 254 to Marekani/
Ama vipi kill it, every time I kill it, I got dreams to be a rich n***a, nshike hizo ma billy, what the fuck you think I’ll wait n***a, uko na mafeelings/
You can catch it like a bait n***a, fell off from the ceiling, I’m a G that’s for real, for the sake of my demeanor/
I’m so choosy fuck whatever, got me moody no more favors, to me rappers are cadavers uh/
Nyi mlichochwa, nyi mlichochwa, nyi mlichochwa


( Outro )

Raplanet shit for life!