Omoka

( Mastar Vk )

Buda ju nimeomoka nikipita kwa njia ondoka(ondoka) , daily naball na mogoka ju nimekafunga ka locker(locker), Vera anaringa na planyo iza joh nimetambua kwamboka(kwamboka) bado unacheza na bano nipate casino mi huchezanga poker(iyee)

Hii pesa imeniweka mbele ndani ya gari si weh ni kadere(kadere) , unaringa na vile uko nyuma naeza kutuma nisichafue puma (puma), Msupa anaitwa auma nilikuslice na nikakauma(ooh), kumbe hupendaga chuma alijinice we hufanya ananuna(nuna), ati Vk napenda your swag(swaga) mi baby napenda hiyo nyuma(haga) , Niko na mapesa kwa bag na zinaeza kutibu hapo mahali unaumwa(umwa), usiku ye hapendangi Giza(yeah) ndio maana mi hupull up na pizza(haah) kindom kiwake alafu mastaar unanimaliza , ju shoti napiga ka chweza Buda ju nimeomoka na fare silipagi chweza Uber ju nimeomoka(Omoka)



( CHORUS )

Swagga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(Omoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(Omoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah) Swaga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(nimeomoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah yeah yeah ayee)



( DOMANI MUNGA )

Mi swagga ni ngori nakunywa madem We ni upige ithafu uomoke

Toka tupate pia sisi Soko yetu Tuliwacha kutrap huko kwote

Vile tuna press more kama doom This end of topic maroaches

This is win and loses Street tunahawk ,Tukitake Lots of risks for the bosses

East napumzika fiti Nika nimelala jela zote Embakasi

Rap mi ni mzazi Still, si ndo huponanga bling zote za wasafi

Mi hulala same ka kitambo Mzee mzima provider siwezi kuwa mrazi

Niliambiwa me ni savage Kupanda stage na Njumu za designer Store zote nina wafuasi

Last victim kwa crime Kitu waliona ilikuwa ni mashetani

Ju tulimkula, hashtag excellent Ilikuwa perfect timing

Eastlands mahali tunaishi Parents wanaburry their kids

Venye madem wako abused in these streets hizi Memories zinanipea tease

Promoter alielewa kwa sana Mi huwanga mavitu za kupunguza mastress

Naskia show ilikuwa lit Hata after kuunguza hiyo event



( CHORUS )

Swagga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(Omoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(Omoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah) Swaga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(nimeomoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah yeah yeah aye)



( BOUTROSS )

Buda jo niliondoka (Ondoka)

Na shawty anadai bakora (Bakora)

Skimbi kumbe ako mboka

Dem aliniitia wakora

Pull up kejani

Ati ye huchill tu mtu mmoja (Mtu mmoja)

Buda nishashusha toja

Kumbe uko kitchen ndio maboy walitoka, buda niliporwa

Mtaa ni noma (Mtaa ni noma)

Bouty ilibidi nimesoma (Soma)

Vile nitalindaga boma (Boma)

Hata ka mi nimekonda

Mi hukula zenye zimenona (Nona)

Nikipata mboka naomoka (Omoka)

Huwezi nipata kwa corolla (Eey)

Buda always niko working Nyi mnacheza mi niko kazi eey

Chunga ukitembea mtaani Hapa ni ngori maboy wako lurking Eey (maboy wako lucky)

Mi niliachana na jaba Mi na mogoka hatupatani eey

Bouty siachani na majani

Hata kama huwezani eey

Ita maboy wa NACADA Vile nawasha hizi vichaka eey

Mi ni boy wa Wakanda Sistuki na stori Za mboka Mboka mboka eey(Kama ni ngori)



( SCAR )

Mapetco, Ndio bani akibonga nalet go( Pah pah )

Mateso Mabeast wakora wa ghetto (Shah shah )

Kwa kettle Napika chang'aa ndani ya rental Ni mapepo

Snitch alib***h akakangwa hadharani kwa esto Mi nimeomoka

Pussy n***as wanapenda kuchocha Nakumbuka matha akienda kukopa

Hii si riba nilichoka kusota Fuck them, walibonga mengi Nilipofika baze wakaondoka

Hapa Kenya huku hakuna wera Ka unasaka hela mpaka Doha

Na vile maskele hujipa kwa rende Siku hizi jo mi nimeogopa

Nilibambwa na jenge mangware ju ya tire By jioni nilikuwa nimetoka

Alah wakbar, wanabonga mengi wana lack bars

Mi ni donga nyinyi ni marap fans

Simnaona ni nini hardwork does

Toka lini mimi Scar na wack verse ( Eey aah uuh, )

Hivyo ndo nahisi Usidhani kuishi na ego ni rahisi

Hamjastruggle ka dingo wa maiti

Tulianza juzi nyi mlishindwaga nais**t

Eeey we can never hype Nikikuona naona kijana you are lied to

No wonder ulihandwa walai ju Even you're dead brothers never like you

I swear this rappers they know us

Tungewazoza ni vile ilifikaga Mahali we needed to grow up

Coz most of my brothers they locked up