Nadia Mukami
Jipe
VERSE 1: (NADIA MUKAMI)

Kamoyo kangu kachoyo, ila kwako nimetulia
Nairobi mpaka bagamoyo, anataka kunichumbia....

Sasa nalishwa, navishwa, naogeshwaaaa aaah
Tena nalindwa napendwa yule si wa kufichaaa aaah
Picha kule kule, watapata taabu saaana...
Macho mbele mbele, ananipenda saanaaa aaah

(PRE- CHORUS)
Hakuna pingamizi kwetu
Hakuna madrama huku kwetu
Hatuna maneno huku kwetu
Tunapendana kikwetu...

CHORUS:

Aka kamoyo kangu nijipe.... nijipe....
Ukinipenda sana nijipe..... nijipe..(X2)

VERSE 2: (MARIOO)
Mmmh
Mi mwenzako nawezaga kupenda sikatai... kweli...
Uh.. ndo nishazama usinipige kipapai honey
Mi hapo kwako nishabwaga moyo usiulaghai... kwelii...
Uh... ndo ushakwama unachotaka sikatai honey
Najua bado huamini haya yamekua..(yamekua ehh)
Acha siamini...

(PRE CHORUS:)
Si Hakuna pingamizi kwetu
Hakuna madrama huku kwetu
Hatuna maneno huku kwetu
Tunapendana kivyeeetuu...


(CHORUS)
Aka kamoyo kangu nijipe........ nijipe..
Ukinipenda sana nijipe......nijipe (X2)

VERSE 3:(NADIA MUKAMI)
Mapenzi malove nawe, iwe shida au raha nitaponda nawe...
Nataka kapicha nawe... kumbusho pale tumetoka naweee

Siamini leo ni mimi nawe (uuuuuh mama) ni mimi na wewe
Hizi pesa nitafute nawe (Uuuuuuh mama) nitafute na wewe

Lemme call you my dear
This love is real not bandia
If I love you hutakimbia
Coz my love is real not bandia

(PRE- CHORUS)
Hakuna pingamizi kwetu
Hakuna madrama huku kwetu
Hatuna maneno huku kwetu
Tunapendana kikwetu...

(CHORUS)
Aka kamoyo kangu nijipe........ nijipe..
Ukinipenda sana nijipe......nijipe (X2)