TRESOR
Nyota
[Verse 1]
Wangonja nini
Kuja nishike tu sau shida zetu
Mpaka jioni
Mi ndapotea mikononi mwako fatou
Duniani mambo
Siwezi maisha kama wewe haukuje
Duniani mambo
Siwezi pumua kama wewe haunishike
Wasema nini
Njoo karibu tuicheze ngoma yetu
Tuviche mbali
Mapenzi yetu wanadamu si wazurri
Dunia ni mambo
Siwezi maisha kama wewe haukuje
Dunia ni mambo
Siwezi pumua kama wewe haunishike

[Chorus]
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo

[Verse 2]
Wachе waseme
Situtafute mpaka ilе nja yetu
Sifa ni bure
Leo na kesho mimi nda kushika mkono
Dunia ni mambo
Siwezi maisha kama wewe haukuje
Dunia ni mambo
Siwezi pumua kama wewe haunishike

[Chorus]
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo

Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo
Ntakuweka rohoni
Mpaka sisi turuke
Wewe ni nyota wa moyo